Pages

Labels

Sunday, August 3, 2014

381 WAFARIKI CHINA



Vifo zaidi vyazidi ongezeka kufwatia tetemeko la ardhi lililo ikumba jimbo la Yunnan Kusini magharibi mwa nchi ya China siku ya Jumapili alasiri

Watu 381 wameripotiwa kufariki kutokana na tetemeko hilo na maelfu ya watu walio dhurika wapo katika maeneo ambayo ni vigumu kufikika kutokana na uaribifu wa miundo mbinu aliotokea.

Vikosi vya uokoaji vinafanya kazi ya ziada kuhakikisha vinafikia maeneo yote yaliyo athirika lakini hofu zaidi ni mvua zinazo tarajiwa kunyesha ndani ya siku tatu zijazo zinazo weza kuwa kikwazo kwenye shughuli za uokoaji.
Chanzo: CCTV

0 comments:

Post a Comment